SAJILI KAMPUNI YAKO UKIWA NA TCCIA ARUSHA

HUDUMA ZETU

  1. Usajili wa Kampuni
  2. Usajili wa jina la biashara
  3. Usajili wa Nembo za Biashara
  4. Ku-update Taarifa za kampuni, au kufanya mabadiliko yoyote
  5. Ku-update Taarifa za majina ya biashara
  6. Kufile annual returns kwa kampuni online

NIFANYEJE ILI KUSAJILI AU KUUPDATE KAMPUNI?

TUNACHOHITAJI KUTOKA KWAKO NI:-

  1. Kitambulisho cha Taifa
  2. TIN ya kila director
  3. Jina la kampuni

FAIDA ZA KURASIMISHA BIASHARA YAKO

kupitia jina lililosajiliwa la biashara mfanyabiashara atatambulika na serikali na wadau mbalimbali wa kibiashara.

Jina la biashara lililosajiliwa linakuwa brand name yako kwa wateja wako

Urahisi wa huduma za kifedha:- kupitia jina la biashara lililosajiliwa mfanyabiashara anaweza kufungua akaunti ya biashara benki pamoja na kuwezesha upatikanaji wa mikopo ya kukuza biashara kwa ufanisi

kupiitia jina la biashara lililosajiliwa mfanyabiashara ataaminika kwa wadau mbalimbali wa kibisahara na kumuweesha kupata tenda za serikali na binafsi

About TCCIA Arusha

The Tanzania Chamber of Commerce, Industry and Agriculture – Arusha (TCCIA Arusha) is a dynamic business organization working to support local entrepreneurs and industries.

Quick Links

Contact Us

TEL : +255 782 84 29 50

Arusha Office Address

TCCIA Arusha Regional Office, Jacaranda Building, Arusha, Tanzania

Copyright © 2025 TCCIA Arusha. All Rights Reserved.